JINSI AKILI YA MWANAUME INAVYOFANYA KAZI

๐Ÿƒ๐Ÿ†▫️Najua ushafundishwa namna ya kukata kiuno, najua ushafundishwa namna ya kumpikia mwanaume, 


๐Ÿƒ๐Ÿ†▫️Najua ushafundishwa namna ya kumheshimu na kumnyenyekea, 

๐Ÿƒ๐Ÿ†▫️Lakini kama usipojua namna ambavyo akili ya mwanaume hufanya kazi basi miezi mitatu tu ya ndoa utaanza kuiona ndoa chungu.

๐Ÿƒ๐Ÿ†▫️Yaani pamoja na viuno vyako, pamoja na kuvumilia kwako, pamoja na kupika kwako vizuri lakini bado utaona mumeo hana shukurani, hakujali, anakudharau kwakua tu hujui namna ya akili yake inafanya kazi.

๐Ÿƒ๐Ÿ†▫️Binafsi naamini mwanamke ana nguvu kubwa sana katika ndoa kwa ujumla, lakini ni wanawake wachache sana ambao hutumia nguvu hiyo.

๐Ÿƒ๐Ÿ†▫️Labda nikuambie kitu kimoja, wakati wewe umefundishwa yote hayo, mwanaume kafundishwa kitu kimoja kwamba angalia mkeo asijekukukalia, asikutawale.

๐Ÿƒ๐Ÿ†▫️Yaani kwa mwanaume hata kama ukiwa unakata kiunoa kama shetani lakini akihisi tu umemkalia unamuendesha basi labda umloge lakini kwa akili ya kawaida utaiona ndoa chungu.

๐Ÿƒ๐Ÿ†▫️ Mwanaume hawi mwanaume kama anahisi anaendeshwa na mwanamke hata kama haendeshwi.

๐Ÿƒ๐Ÿ†▫️Labda unaweza kusema mbona mimi simuendeshi, mbona mimi namtii nina nidhamu nafanya kile anachokitaka. 

๐Ÿƒ๐Ÿ†▫️Sasa hembu nikupe mifano tu ya mambo ya kawaida, mumeo kachelewa unamuuliza ulikua wapi?

๐Ÿƒ๐Ÿ†▫️Mumeo katoka nje kupokea simu unamuuliza ulikua unaongea na nani, mumeo umemkuta kasimama na mtu ushamuambia yule ni nani na ulikua unafanya nini? 

๐Ÿƒ๐Ÿ†▫️Inawezekana umeuliza kwa taratibu kabisa tena kistaarabu lakini kwa mwanaume kama unaonyesha kuwa unampangia basi anaona umemkalia.

๐Ÿƒ๐Ÿ†▫️Sasa ufanye nini? 

๐Ÿƒ๐Ÿ†▫️Nikitu rahisi tu muache ajihisi kakutawala yeye lakini kumbe unampangia kila kitu wewe. 

๐Ÿƒ๐Ÿ†▫️Tuchukue mfano wa kawaida, unaona mume wako anachelewa kila siku kurudi nyumbani, ndoa yenu changa na umechoka hiyo hali.

๐Ÿƒ๐Ÿ†▫️Ushauliza sana na majibu yake hayaeleweki, nikuambie hata ukiita na ndugu na viongozi wa dini hataacha kuchelewa.

๐Ÿƒ๐Ÿ†▫️ Lakini hembu panga muda wa chakula cha usiku, halafu jifanye huwezi kula chakula peke yako.

๐Ÿƒ๐Ÿ†▫️Sasa hapa akichelwa, hutalalamika kwanini anachelewa utakua ukilalamika kwanini anapedna kula vyakula vya baridi.

๐Ÿƒ๐Ÿ†▫️ Yaani utakua unasema unajali madhara, chakula kinatakiwa kiwe cha moto bhana.

๐Ÿƒ๐Ÿ†▫️Kwa maana kua unalalamikia afya yake, hapa hutakua unalalamika kama mwanamke mwenye wivu ambaye anapenda kumcontrol mume wake bali mwanamke mwenye upendo ambaye hujali afya ya mumewe.

๐Ÿƒ๐Ÿ†▫️Hapo akili ya mumeo itaanza kuwaza ananijali na si ananiconrtrol, kwamba wakati anaongea na wanaume wenzake hatasema huyu mwanamke ukichelewa anakasirika bali mke wangu hapendi nile vyakula vya baridi.

๐Ÿƒ๐Ÿ†▫️Kumbe kichwnai wala hujali kama anakula viporo wala nini unajali kama anawahi nyumbani. 

๐Ÿƒ๐Ÿ†▫️Lakini kuna mambo mengine pia, unaweza kumfanya kuwa rafiki yako, kutengeneza hobi ya pamoja na vitu vya kufanya pamoja ambavyo vinamlazimisha kuwahi.

๐Ÿƒ๐Ÿ†▫️Ukijua akili ya mwnaaume inavyofanya kazi mwanaume hatakusumbua.

๐Ÿƒ๐Ÿ†▫️ Lakini ukiishia kukata viuno halafu kila siku kelele utashangaa, ndoa ya miezi sita ishaanza kunuka na hakuna mtu wa kukusaidia.

*๐Ÿƒ๐Ÿ†▫️KUWA MBUNIFU WA KIMAWAZO NA KIMATENDO KWA MUMEO, WACHA KUJILALAMIKIA OVYO, UTACHOKWAAA!!๐Ÿƒ*


 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

MAPACHA WATATU FAMILIA YA MWAIKENDA WAPATA KIPAIMARA

๐Œ๐‰๐”๐„ ๐Š๐€๐‚๐‡๐„๐‘๐Ž ๐Œ๐™๐„๐๐€

NAMNA YA KUTENGENEZA MAISHA YAKO KIMYA KIMYA

Wasifu wa Kizza Besigye

NAPE AWAPA UKWELI VIJANA

HAKUNA DHEHEBU LA DINI AMBALO LIKO JUU YA LINGINE, MADHEHEBU YOTE YAKO SAWA KISHERIA - RAIS SAMIA

MADAKTARI WALIPAMBANA KWA NGUVU ZOTE KUMNUSURU JENISTA MHAGAMA IKASHINDAKANA- MCHENGERWA

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️