FEDHA ZIMESAINIWA, UJENZI MRADI WA MAJI UTAANDA LINI - KASAKA

 Mbunge wa Lupa Chunya, Masache Kasaka ameihoji serikali bungeni kwamba lini ujenzi wa Mradi wa Maji Chunyauliosainiwa na kutengewa fedha utaanza? Amehoji hilo wakati wa kipindi cha maswali na majibu bungeni Dodoma Aprili 21, 2026 na kujibiwa na Naibu Waziri wa Maji, Kundo Mathew.




IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA -0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

AINA 10 ZA WANAWAKE AMBAO BIBLIA INAKUONYA UWAEPUKE

UBORA UNAONEKANA: BENKI YA NMB YANG'ARA TUZO ZA EUROMONEY 2026

MAJANI YA MAPERA NA MATUMIZI YAKE YA KITIBA

RAIS ALİYEISHI KAMA MUNGU WAKATI WATU WAKE WAKIFA NJAA