KAMILISHENI UJENZI WA SKIMU ZA UMWAGILIAJI RUKWA - MZINDAKAYA

Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Rukwa, Jackline Mzindakya akichangia mjadala wa makadirio ya Bajeti ya Wizara ya Kilimo kwa mwaka wa fedha wa 2026/ 2027 bungeni Dodoma Aprili 28, 2026. Moja ya mambo aliyoiomba serikali ni kukamilisha skimu za umwagiliaji na kuongeza ruzuku katika viuatilifu vitakavyosaidia kuboresha sekta ya kilimo mkoani humo.

 

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA - 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

AINA 10 ZA WANAWAKE AMBAO BIBLIA INAKUONYA UWAEPUKE

MAJANI YA MAPERA NA MATUMIZI YAKE YA KITIBA

RAIS ALİYEISHI KAMA MUNGU WAKATI WATU WAKE WAKIFA NJAA

ZIJUE TIBA ZA MMEA WA MSHONA NGUO.