MWALUNENGE ATAKA MBEYA IKOPESHWE FEDHA ZA KUJENGA KM 100 ZA BARABARA ZA JIJI

Mbunge wa Mbeya Mjini ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mbeya, Patrick Mwalunenge ameiomba serikali kuuruhusu mkoa huo kukopa fedha za kujenga Km 100 za Jiji la Mbeya na kwamba uwezo wa kulipa deni hilo wanao. bungeni Dodoma Aprili 14, 2026. Pia Mwalunenge ameiomba serikali kuupatia mkoa huo fedha zitakazosaidia kukarabati masoko mbalimbali ya Jiji hilo ambayo yamechakaa. Ameyasema hayo alipokuwa akichangia mjadala wa hotuba ya Waziri Mkuu.



 

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA -0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

Wasifu wa Kizza Besigye

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

KATI YA WATOTO 7 WA HAYATI MAGUFULI ANAYEJULIKANA ZAIDI NI JESCA

AINA 10 ZA WANAWAKE AMBAO BIBLIA INAKUONYA UWAEPUKE

KIKOSI KILICHOITWA TAIFA STARS HIKI HAPA

UBORA UNAONEKANA: BENKI YA NMB YANG'ARA TUZO ZA EUROMONEY 2026

MAJANI YA MAPERA NA MATUMIZI YAKE YA KITIBA

MCHIMBAJI MDOGO WA DHAHABU AFANYA MAKUBWA KWENYE HUDUMA ZA AFYA