Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Rhimo Nyansaho akiwasilisha makadirio ya Bajei ya Wizara ya hiyo kwa Mwaka wa Fedha wa 2026/2027 bungeni Dodoma Mei 19, 2026.
Wizara hiyo imeomba kuidhinishiwa zaidi ya sh. Tril. 4.2 kwa ajili ya matumizi ya kawaida na ya maendeleo. Bunge limeidhinisha kiasi hicho cha fedha.
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA - 0754264203

Comments