WAZIRI AWESO TUNAONA UNAWAZINGUA WANANCHI WA ULYANHULU KUTATUA KERO YA MAJI - LUFUNGIJA


 Mbunge wa Jimbo la Ulyankulu, Japhael Lufungija ameshangaa Jimbo hilo kutokuwa na Mradi wa Maji kutoka Ziwa Victoria na kuomba wapelekewe kwa lengo la kuwatatulia kero ya maji wananchi. Pamoja na mambo mengine, Lufungija ametoa ombi hilo alipokuwa akichangia mjadala wa makadirio ya Bajeti hiyo kwa mwaka wa Fedha wa 2026/2027 bungeni Dodoma Mei 5, 2026.

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA - 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA

UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA MSALATO DODOMA KUANZA KUTUMIKA SEPTEMBA 2026

Wasifu wa Kizza Besigye

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA