MBUNGE MWANDABILA ATISHIA KUPIGA MAGOTI BUNGENI AKIOMBA GARI LA RUASA ILEJE


 Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Songwe, Neema Mwandabila ameiomba Wizara ya Maji kupeleka la RUASA wilayani Ileje kwa lengo la kusaidia kuboresha sekta ya maji wilayani humo.

Aidha, Mwandabila ameitaka serikali kulipa madeni kwa makandarasi ambao miradi yao imesimama ili warejee kuikamilisha. Pamoja na mambo mengine, ameyasema hayo alipokuwa akichangia mjadala wa makadirio ya Bajeti ya Wizara ya Maji kwa mwaka wa fedha wa 2026/ 2027 bungeni Dodoma Mei 7, 2026.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DK MAGUFULI ATANGAZA KIAMA CHA MAJAMBAZI, WEZI NA MAFISADI KATIKA MIKUTANO YA KAMPENI SUMBAWANGA,TUNDUMA, ILEJE NA MBOZI

VIONGOZI BORA BARANI AFRIKA KWA SASA.

UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA MSALATO DODOMA KUANZA KUTUMIKA SEPTEMBA 2026

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

ASKOFU GWAJIMA: VIJANA PUUZENI WANAOCHOCHEA VURUGU