HAPI APOKELEWA KWA KISHINDO MKOANI DODOMA.

KATIBU Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi CCM Taifa, Ndugu Ally Salum Hapi (MNEC) amepokelewa kwa kishindo mkoani Dodoma katika ziara yake mkoani humo.


Akiwa Dodoma, Hapi, atafanya ziara ya kuimarisha Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Wilaya ya Dodoma Mjini, Chamwino na Kondoa.







 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA

Wasifu wa Kizza Besigye

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda