**Kwanza ni naibu mkurugenzi mtendaji anayesimamia baraza la mikakati na sera Katika ofisi ya rais.
**Ange kagame kabla ya kuteuliwa Kuwa naibu
mkurugenzi mtendaji anayesimamia baraza la mikakati na sera
alikuwa ni mchambuzi mkuu wa sera tangu Mwaka 2019 Katika ofisi ya rais.
**Ana digree ya sayansi ya siasa na masuala ya kimataifa kutoka huko Marekani.
Usiyo yajua kutoka Ange kagame mtoto wa Kagame .
👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻
**Ange kagame anafanana kitabia na rais Kagame..
**Ana nguvu na ushawishi ndani ya serikali ya Rwanda.
**Inadaiwa rais Kagame akiwa nje ya nchi ukaimu nafasi ya urais .
**Inadaiwa baadhi ya wakuu wa vyombo vya usalama wanaripoti kwa Ange kagame Moja kwa moja.
**inadaiwa anaigia kwenye vikao muhimu ambavyo vinakutanisha wakuu vyombo vya usalama vya Rwanda pamoja na rais Kagame ndani ya ikulu

Comments