USIYO YAJUA KUHUSU ANGE KAGAME

**Kwanza ni naibu mkurugenzi mtendaji anayesimamia baraza la mikakati na sera Katika ofisi ya rais.

**Ange kagame kabla ya kuteuliwa Kuwa naibu

mkurugenzi mtendaji anayesimamia baraza la mikakati na sera

alikuwa ni mchambuzi mkuu wa sera tangu Mwaka  2019 Katika ofisi ya rais.

**Ana digree ya sayansi ya siasa na masuala ya kimataifa kutoka huko Marekani.


Usiyo yajua kutoka Ange kagame mtoto wa Kagame .

👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻

**Ange kagame anafanana kitabia na rais Kagame..

**Ana nguvu na ushawishi ndani ya serikali ya Rwanda.

**Inadaiwa rais Kagame  akiwa nje ya nchi  ukaimu nafasi ya urais .

**Inadaiwa baadhi ya wakuu wa vyombo vya usalama  wanaripoti kwa Ange kagame Moja kwa moja.

**inadaiwa anaigia kwenye vikao muhimu ambavyo vinakutanisha wakuu vyombo vya usalama vya Rwanda pamoja na rais Kagame ndani ya ikulu


Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

Wasifu wa Kizza Besigye

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA