
Bendera za Nchi wanachama wa Jumuiya tya Afrika Mashariki zikipepea nje ya Hoteli ya Kilimanjaro, Dar es Salaam, ambapo Mkutano wa wakuu wa nchi hizo walikutana kujadili mambo mbalimbali ya maendeleo

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu-Uwekezaji na Uwezeshaji, Dk. Mary Nagu na Waziri wa Maji, Profesa Mark Mwandosya wakiwa kwenye Mkutano huo.

Waziri wa Maji, Profesa Mark Mwandosya akijadiliana jambo na Waziri wa Biashara wa Kenya, Chirau Mwakwere wakati wa mkutano huo.
Comments