Ndugu Thomas Omary na mkewe, Bi. Verian Elias, waliopatwa na tukio la kumwagiwa tindikali huko Kasulu, Kigoma, wakipokea faraja kutoka kwa Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) - Bara, John Mongella, walipotembelewa wakiwa kwenye matibabu katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dar es Salaam.
Ndugu Thomas Omary na mkewe, Bi. Verian Elias, waliopatwa na tukio la kumwagiwa tindikali huko Kasulu, Kigoma, wakipokea faraja kutoka kwa Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) - Bara, John Mongella, walipotembelewa wakiwa kwenye matibabu katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dar es Salaam.
Comments