MONGELLA AWATEMBELEA HOSPITALI WALIOMWAGIWA TINDIKALI


 Ndugu Thomas Omary na mkewe, Bi. Verian Elias, waliopatwa na tukio la kumwagiwa tindikali huko Kasulu, Kigoma, wakipokea faraja kutoka kwa Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) - Bara, John Mongella, walipotembelewa wakiwa kwenye matibabu katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dar es Salaam.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

RAIS TRUMP ARARUANA NA RAIS WA UKRAINE

MWABUKUSI ATOA NENO SIMBA KUSUSIA DERBY DHIDI YA YANGA

SERIKALI YALIKUBALI OMBI LA DIAMOND

HOSPITALI YA MUHIMBILI YAANZISHA HUDUMA YA KISASA YA KUZIBA MAPENGO

ARAJIGA AULA KOMBE LA DUNIA