GERSON MSIGWA AREJESHWA KUWA MSEMAJI MKUU WA SERIKALI

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amehamisha majukumu ya sekta ya habari kutoka Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari kwenda Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo ambapo Profesa Paramagamba Kabudi ameteuliwa kuwa Waziri wa Habari, Utamaduni , Sanaa na Michezo na  kumteua Gerson Msigwa kuwa Katibu Mkuu wa Wizara hiyo na kurejeshwa kuwa  Msemaji Mkuu wa Serikali nafasi ambayo aliwahi
ishika awali.


Awali Kabudi alikuwa Waziri wa Katiba na Sheia na Msigwa alikuwa Katibu Mkuu wa iliyokuwa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

RAIS TRUMP ARARUANA NA RAIS WA UKRAINE

MWABUKUSI ATOA NENO SIMBA KUSUSIA DERBY DHIDI YA YANGA

SERIKALI YALIKUBALI OMBI LA DIAMOND

HOSPITALI YA MUHIMBILI YAANZISHA HUDUMA YA KISASA YA KUZIBA MAPENGO

ARAJIGA AULA KOMBE LA DUNIA