BREAKING: CAF YAIPOKONYA KENYA KUANDAA CHAN

 Shirikisho Soka barani Afrika CAF limetoa taarifa kuwa taifa la Kenya 🇰🇪 limeshindwa kukidhi vigezo vya kuwa mmoja wa mataifa yatakayoandaa mashindano ya CHAN mwakani 2025 mara baada ya kushindwa kukidhi vigezo vya kuwa mwenyeji wa mashindano hayo.


Viwanja vyote vilivyopo Kenya havina ubora wa kutumika katika michezo ya FIFA Wala CAF Kwa mujibu wa wakaguzi wa CAF na hata uwanja wa Kasarani unaojengwa pia imeonekana kuwa hautakamilika Kwa wakati.


 Nafasi hiyo wamepatiwa Rwanda 🇷🇼 mara baada ya kuonekana wao wamekidhi vigezo vya kuwa wenyeji wa CHAN.


CHAN2025 itachezwa katika mataifa matatu ambayo ni Rwanda 🇷🇼, Tanzania 🇹🇿 pamoja na Uganda 🇺🇬.

Uwanja wa Karasani unaoendelea kujengwa.


Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

RAIS TRUMP ARARUANA NA RAIS WA UKRAINE

MWABUKUSI ATOA NENO SIMBA KUSUSIA DERBY DHIDI YA YANGA

SERIKALI YALIKUBALI OMBI LA DIAMOND

HOSPITALI YA MUHIMBILI YAANZISHA HUDUMA YA KISASA YA KUZIBA MAPENGO

ARAJIGA AULA KOMBE LA DUNIA