
Rais wa Uganda, Yoweri Museveni akihutubia katika maadhimisho ya miaka 50 ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Dar es Salaam leo.

Baadhi ya wageni waalikwa wakiwa katika maadhimisho hayo

JK akihutubia katika maadhimisho hayo

Wanafunzi wa UDSM wakiandamana kupinga maadhimisho hayo wakidai mambo yao bado siyo mazuri chuoni hapo, kiasi cha kuwafanya kulala nje kwa ukosefu wa mabweni

Rais Yoweri Museveni akilakiwa na JK pamoja na Makamu Mkuu wa UDSM, Mukandara

Museveni akilakiwa na Rais mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi

JK akiwa na Naibu Katibu Mkuu wa UN, Dk Asha Rose Migiro (wa pili kulia), Rais mstaafu, Ali Hassan Mwini, Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa (kulia)

Wanafunzi wakiwa na mabango walipokuwa wakiandamana
Comments