DK MAGUFULI ALAKIWA KAMA MFALME KIGOMA

 Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk. John Magufuli akijinadi kwa wananchi wakati wa mkutano wa hadhara katika Uwanja wa Kawawa mjini Kigoma leo.
 Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk. John Magufuli (kuliaakifurahia jambo na mgombea ubunge Jimbo la Kigoma Kaskazini kupitia CCM, Peter Serukamba  wakati wa mkutano wa hadhara katika Uwanja wa Kawawa mjini Kigoma leo.PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
 Wananchi wa Kigoma wakifurahia hotuba ya Dk Magufuli kwenye mkutano huo.
Ni furaha tupu kwa wananchi hawa wa Nguruka baada ya kumuona Dk Magufuli





 Moja ya mabango yakielezea kero  na kumtaka Dk Magufuli azitafutie ufumbuzi
 Dk Magufuli akijinadi kwa wananchi katika Kata ya Nguruka  Jimbo la Kigoma Kusini
 Wananchi wakishangilia hotuba ya Dk Magufuli
 Mgombea ubunge jimbo la Kigoma Kusini kupitia CCM, Husna Mwilima (kushoto) akizungumza na Mmiliki wa Bendi ya Twanga Pepeta, Asha Baraka wakati wa mkutano huo.
 Wananchi wa Nguruka wakiwa na furaha baada Dk Magufuli kuahidi kutatua kero zao atakaposhinda urais



 Dk Magufuli  akimkabidhi Mgombea ubunge Jimbo la Kigoma Kusini, Husna Mwilima  kitabu cha Ilani ya Uchaguzi wakati wa mkutano huo wa kampeni
 Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Chadema, akionesha magwanda  baada ya kuyavua alipotangaza kukihama chama hicho na kujiunga na CCM wakati wa mkutano wa kampeni katika Kijiji cha Nguruka
 Dk Magufuli akiangua kicheko alipokuwa akishuhudia Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Chadema,  akivua magwanda baada ya kutangaza kukihama chama hicho na kujiunga na CCM katika mkutano wa kampeni katika Kata ya Nguruka, Kigoma Kusini.
 Dk Magufuli akionesha moja kadi za alizopokea kutoka kwa wapinzani walioamua kujiunga na CCM
 Dk Magufuli akionesha kadi mbalimbali alizopokea kutoka kwa wapinzania walioamua kuvihama vyama vyao na kutangaza kujiunga ba CCM katika mkutano huo wa kampeni
 Dk Magufuli akisaidiana Mgombea ubunge Jimbo la Kigoma Kusini, Husna Mwilima kuzisambaza kadi mbalimbali za wapinzani zilizorudishwa
 Dk Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wanachama wa vyama vya upinzani walioamua kuhamia CCM katika mkutano wa kampeni katika Kata ya Nguruka, Kigoma Kusini.
 Wananchi wakimshangilia Dk Magufuli alipozuiwa Eneo la Uvinza wakati msafara wake ukielekea Kigoma mjini
 Dk Magufuli akijinadi kwa wananchi eneo la Uvinza mkoani Kigoma

 Moja ya mabango yenye ujumbe wa kuwasuta wafuasi wa vyama vya upinzani wanaoshabikia Ukawa
 Mjumbe wa Kamati Kuu ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati ya Kampeni ya CCM, Abdallah Bulembo akitangaza kwa wananchi wasifu wa Mgombea urais kupitia CCM, Dk John Magufuli mjini Kigoma.
 Wasanii wa kikundi cha Ze Orijino Komedy wakitumbuiza katika mkutano huo wa kampeni
 Akijinadi kwa wananchi mjini Dodoma

 Dk Magufuli akiwaaga
 Dk Magufuli akiwaaga wananchi baada ya mkutano wa kampeni kumalizka mjini Kigoma leo

Dk Magufuli na viongozi wengine wakicheza muziki baada ya kumalizika kwa mkutano

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

𝗠𝗕𝗢𝗪𝗘 𝗔𝗦𝗜𝗧𝗜𝗦𝗛𝗔 𝗠𝗔𝗔𝗡𝗗𝗔𝗠𝗔𝗡𝗢 𝗬𝗔 𝗖𝗛𝗔𝗗𝗘𝗠𝗔 𝗬𝗔 𝗧𝗔𝗥𝗘𝗛𝗘 𝟮𝟯.

KAMATI YA UWT KUTOA MSAADA WA KISHERIA NCHINI

KIKOSI CHA CBE KIMEWASILI ZENJI KUVAANA NA YANGA

YANGA YAWASILI SALAMA ETHIOPIA

MAYELE AIMWAGIA SIFA LUKUKI YANGA

DEMU KAMA ANAFANYA KAZI HIZI KUWA MAKINI NAE.