ASKOFU CHANDE AIOMBEA IWEZE KUFANIKIWA MIRADI YA MAENDELEO ALIYOITANGAZA RAIS SAMIA+video

 



MWENYEKITI wa Jumuiya ya Maridhiano Mkoa wa Dodoma, Askofu Dkt. Evance Chande akiongoza maombi ya kumuombea Rais Samia Suluhu Hassan na miradi aliyoitangaza Rais Samia Suluhu Hassan wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya Maendeleo kwa Ustawi wa Taifa na Mapambano dhidi ya Uviko -19 jijini Dodoma. Maombi hayo yaliyowashirikisha waumini yamefanyika leo Oktoba 17,2021 wakati wa ibada maalumu katika Kanisa lake lililopo eneo la Ipagala, jijini Dodoma.

Askofu Dkt Chande akihubiri wakati wa ibada za kuiombea miradi hiyo.
Waumini wakishiriki kwenye maombi hayo.





PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA
 


Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza/kuona kupitia kwenye clip hii ya video hapa chini ujue yaliyojiri wakati wa maombi hayo ya kumombea Rais Samia na miradi aliyoitangaza.....

Imeandaliwa na Richard Mwaikenda 
Mhariri Blog ya Taifa ya CCM
 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

Wasifu wa Kizza Besigye

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA