ASKOFU CHANDE AIOMBEA IWEZE KUFANIKIWA MIRADI YA MAENDELEO ALIYOITANGAZA RAIS SAMIA+video

 



MWENYEKITI wa Jumuiya ya Maridhiano Mkoa wa Dodoma, Askofu Dkt. Evance Chande akiongoza maombi ya kumuombea Rais Samia Suluhu Hassan na miradi aliyoitangaza Rais Samia Suluhu Hassan wakati wa uzinduzi wa Kampeni ya Maendeleo kwa Ustawi wa Taifa na Mapambano dhidi ya Uviko -19 jijini Dodoma. Maombi hayo yaliyowashirikisha waumini yamefanyika leo Oktoba 17,2021 wakati wa ibada maalumu katika Kanisa lake lililopo eneo la Ipagala, jijini Dodoma.

Askofu Dkt Chande akihubiri wakati wa ibada za kuiombea miradi hiyo.
Waumini wakishiriki kwenye maombi hayo.





PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA
 


Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza/kuona kupitia kwenye clip hii ya video hapa chini ujue yaliyojiri wakati wa maombi hayo ya kumombea Rais Samia na miradi aliyoitangaza.....

Imeandaliwa na Richard Mwaikenda 
Mhariri Blog ya Taifa ya CCM
 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*