WAZIRI MKUU MGENI RASMI KONGAMANO LA KUMBUKIZI YA BABA WA TAIFA HAYATI JULIUS NYERERE+video


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kongamano la kumbukizi ya Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Nyerere linalofanyika leo kwenye ukumbi wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma.

PICHANI; Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Kongamano hilo, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Kumbukumbu ya Baba wa Taifa, Hayati Nyerere Mkoa wa Dodoma, Peter Mavunde akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari jijini Dodoma kuhusu maandalizi ya kongamano. Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu wa Taasisi hiyo, Neema Mkwachu na Anna Khamis Katibu wa Taasisi Mkoa wa Dodoma. PICHA NA RICHARD MWAIKENDA

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Mavunde akizungumzia maandalizi hayo....
 

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKUNDI YA VILABU VINAVYOSHIRIKI KOMBE LA DUNIA 2025.

MUONEKANO WA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA MSALATO

JINSI YA KUMTAWALA MWANAMKE HASA MKE (USIOE MKE WA MTU)

DIARRA KIPA BORA TANZANIA

CHINYELE ACHUKUA FOMU KUOMBA RIDHAA YA KUGOMBEA UBUNGE DODOMA MJINI

MWANDISHI WA HABARI SAGGAF ACHUKUA FOMU ZA UBU/NGE DODOMA MJINI