KAMONGA AIOMBA SERIKALI KUIPA KIPAUMBELE LUDEWA UWEKAJI UMEME KWENYE VITONGOJI+video

 Mbunge wa Ludewa, Joseph Kamonga akichangia mjadala wa makadilio ya Bajeti ya Wizara ya Nishati bungeni Dodoma Juni Mosi, 2022, ameiomba serikali kuvipa kipaumbele vitongoji vya Ludewa kuwekewa umeme.

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, akipambania umeme Ludewa...

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
 MSIMAMIZI MKUU 
KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG 
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

WALIOCHUKUA FOMU CCM ZA KUWANIA USPIKA HAWA HAPA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HUYU NDIYE WANU HAFIDH, CHAMPIONI WA ELIMU

MAWAZIRI WALIOACHWA HAWA HAPA

HISTORIA YA MAREHEMU MC PILIPILI

MJUE VIZURI KOCHA MPYA WA YANGA PEDRO