Mbunge wa Ludewa, Joseph Kamonga akichangia mjadala wa makadilio ya Bajeti ya Wizara ya Nishati bungeni Dodoma Juni Mosi, 2022, ameiomba serikali kuvipa kipaumbele vitongoji vya Ludewa kuwekewa umeme.
Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, akipambania umeme Ludewa...
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG
0754264203
Comments