KAMONGA AIOMBA SERIKALI KUIPA KIPAUMBELE LUDEWA UWEKAJI UMEME KWENYE VITONGOJI+video

 Mbunge wa Ludewa, Joseph Kamonga akichangia mjadala wa makadilio ya Bajeti ya Wizara ya Nishati bungeni Dodoma Juni Mosi, 2022, ameiomba serikali kuvipa kipaumbele vitongoji vya Ludewa kuwekewa umeme.

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, akipambania umeme Ludewa...

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
 MSIMAMIZI MKUU 
KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG 
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI