UTAFITI WAJA NA 'DAWA MPYA' YA KUSAIDIA TIBA YA WAGONJWA WA AFYA YA AKILI +video

 Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe, Paul Lawala akizungumza na vyombo vya habari baada ya kupokea matokeo ya ripoti ya utafiti wa kusambaza kwa familia elimu ya saikolojia kusaidia kutibu wagonjwa wa afya ya akili.

Matokeo ya utafiti huo uliofanyika katika mikoa ya Mbeya na Da es Salaam yametolewa katika kikao cha wadau kilichofanyika katika Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe jijini Dodoma Juni16,2022.

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Lawala na wadau wengine walioshiriki kwenye utafiti huo wakielezea....
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

WALIOCHUKUA FOMU CCM ZA KUWANIA USPIKA HAWA HAPA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

RAIS SAMIA SIO RAIS JOYCE BANDA WA MALAWI, TANZANIA SIO KENYA

MJUE VIZURI KOCHA MPYA WA YANGA PEDRO

MATOKEO YA DARASA LA 7 YATANGAZWA

JESHI LA POLISI LATEKELEZA AGIZO LA RAIS SAMIA, LAONDOA KIZUIZI CHA KUTOTOKA NJE BAADA YA SAA 12 JIONI