UTAFITI WAJA NA 'DAWA MPYA' YA KUSAIDIA TIBA YA WAGONJWA WA AFYA YA AKILI +video

 Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe, Paul Lawala akizungumza na vyombo vya habari baada ya kupokea matokeo ya ripoti ya utafiti wa kusambaza kwa familia elimu ya saikolojia kusaidia kutibu wagonjwa wa afya ya akili.

Matokeo ya utafiti huo uliofanyika katika mikoa ya Mbeya na Da es Salaam yametolewa katika kikao cha wadau kilichofanyika katika Hospitali ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe jijini Dodoma Juni16,2022.

Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, Lawala na wadau wengine walioshiriki kwenye utafiti huo wakielezea....
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.