PROF. NDAKIDEMI AITAKA SERIKALI KUHARAKISHA UJENZI WA NJIA YA WATU MASHUHURI KWENDA KUUONA MLIMA KILIMANJARO+video
Mbunge wa Moshi Vijijini, Profesa Patrick Ndakidemi ameiomba serikali bungeni Dodoma Aprili 5, 2023, kuona umuhimu wa kujenga miundombinu ya barabara kurahisisha watalii kufika kuona mti mrefu kulio yote Afrika.
Aidha, ameiomba serikali kujenga njia maalumu ya watu mashuhuri kupita kwenda kupanda Mlima Kilimanjaro.
Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video.Prof. Ndakidemi pamoja na mambo mengine ameiomba serikali kujenga barabara kwenda kwenye mti huo...
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDAMSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO TV/BLOG
0754264203

Comments