NAIBU WAZIRI 'MWANA FA' APAGAWISHA MKUTANO WA CHONGOLO TANGA


Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mbunge wa Jimbo la Muheza,Hamis Mwinjuma maarufu Mwana FA akitumbuiza wakati wa mkutano wa Katibu Mkuu wa CCM,  Komredi Daniel Chongolo wa kutoa elimu sahihi kuhusu uwekezaji wa Bandari ya Dar es Salaam mjini Korogwe Tanga Julai 19,2023.









 Mwana FA akipongezwa na Katibu Mkuu wa CCM, Komredi Chongolo baada ya kutoa burudani ya aina yake kwenye mkutano huo.


PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

OWM–TAMISEMI YASHINDA TUZO YA MABADILIKO YA KIDIJITALI KATIKA TEHAMA AWARDS 2026

NI MAKOSA WANAFUNZI KUFIKA SHULE SAA 1:15 ASUBUHI

MAFAO YA MAKAMU WA RAIS ALIYEJIUZULU

VIONGOZI NA WATENDAJI WA MATAWI UVCCM PANGANI WANOLEWA

NMB YAWAUNGANISHA WANANCHI NA HUDUMA, FURSA ZANZIBAR