Droo ya hatua ya 16 bora ya Kombe la Mataifa Afrika AFCON 2023 imetoka huku wenyeji, Ivory Coast wakikutanishwa dhidi ya Mabingwa Watetezi, Senegal.
Nyota wa Yanga SC, Stephanie Aziz Ki na golikipa Djigui Diarra wanatarajiwa kuchuana katika hatua hiyo baada ya Mali ya Djigui Diarra kukutanishwa dhidi ya Burkina Faso ya Stephanie Aziz Ki.
DROO KAMILI
JANUARI 27
Angola 🇦🇴 vs 🇳🇦 Namibia
Nigeria 🇳🇬 vs 🇨🇲 Cameroon
JANUARI 28
Guinea ya Ikweta 🇬🇶 vs 🇬🇳 Guinea
Misri 🇪🇬 vs 🇨🇩 DR Congo
JANUARI 29
Cape Verde 🇨🇻 vs 🇲🇷 Mauritania
Senegal 🇸🇳 vs 🇮🇪 Ivory Coast
JANUARI 30
Mali 🇲🇱 vs 🇧🇫 Burkina Faso
Morocco 🇲🇦 vs 🇿🇦 Afrika Kusini

Comments