Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi amesema kuwa yeye na Rais Samia Suluhu Hassan ni wafuasi wasioyumba wa Hayati Mwalimu Julius Nyerere.
Pamoja na mambo mengine Dkt Nchimbi ameyasema hayo alipokuwa akihutubiwa katika mkutano wa hadhara mjini Namanyere, Nkasi mkoani Rukwa Aprili 14, 2024 wakati wa ziara yao ya kikazi ya siku 10 katika mikoa 6 nchini.
Katika ziara hiyo yenye mafanikio aliambatana na wajumbe wa Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM, Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla na Katibu wa Oganaizesheni, Issa Haji Gavu.
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV
0754264203
Comments