MWANYIKA ASHAURI MAKUBWA BAJETI WIZARA YA NISHATI


 Mbunge wa Njombe Mjini, Deodatus Mwanyika ameitaka serikali kufanya haraka kuweka umeme katika baadhi ya mitaa ya jimbo hilo ikiwemo ya Unguja na Pemba.


Pamoja na mambo mengine ametoa ombi hilo alipokuwa akitoa mchango wakati wa kujadili Bajeti ya Wizara ya Nishati bungeni Dodoma Aprili 25, 2024.

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MSIMAMIZI MKUU KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MUSTAFA MKULO AFARIKI DUNIA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DK NCHIMBI ATINGA MKOANI KATAVI

MAKALLA ASHANGILIWA BUNGENI

BASHASHA LATAWALA NCHIMBI ALIPOLAKIWA NA CHONGOLO SONGWE

NCHIMBI AFUNGUA KONGAMANO LA MAADHIMISHO YA KUMBUKIZI YA MWALIMU NYERERE

DKT NCHIMBI AKARIBISHWA KIMILA NYUMBANI RUVUMA