OMUKA HUB, NUKTA AFRICA, UNESCO WATOA SOMO KWA WABUNGE KUHUSU FAIDA, HASARA ZA AKILI MNEMBA

Wabunge na waandishi wa habari wamehudhuria warsha iliyohusu fursa na changamoto  za kutumia Akili Bandia (Mnemba) AI, wakati wa maadhimisho wa Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani lililofannyika jijini Dodoma Aprili 2, 2024.

Warsha hiyo iliyoandaliwa kwa pamoja na Omuka Hub, UNESCO,  NUKTA AFRIKA na Jamii Forum ilikuwa na lengo la kujadili fursa na changamoto za AI pia kuangazia matumizi ya AI na Teknolojia katika eneo la habari.

Mkurugenzi wa Omuka Hub, Mbunge wa Viti Maalumu, Neema Lugangira  akitoa somo kuhusu manufaa ya AI katika sekta ya Afya, Kilimo na Elimu na changamoto za ai katika Habari.
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Nukta Africa, Nuzulack Dauzen 

mMbunge wa Mwanga, Joseph Thadao.
Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari-MAELEZO, ZZamaradi. 
Mtangazaji wa ITV, Idda Mushi.

BBaadhi ya wabunge waliohudhuria Warsha hiyo.







 Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na wabunge waliohudhuria warsha hiyo.

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
MSIMAMIZI MKUU 
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV 
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MUSTAFA MKULO AFARIKI DUNIA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

YANGA BADO POINTI 2 TU ITANGAZE UBINGWA

MAKALLA ASHANGILIWA BUNGENI

DKT NCHIMBI AKARIBISHWA KIMILA NYUMBANI RUVUMA

DKT NCHIMBI AZURU KABURI LA JOHN KOMBA LITUHI, NYASA

ZIARA YA DKT NCHIMBI KUINGIA RUVUMA LEO