MWANYIKA ANG'AKA BUNGENI, NJOMBE HATUTAKI KUGEUZWA KICHWA CHA MLEVI...



 Mbunge wa Njombe Mjini, Deodatus Mwanyika ameiomba serikali kuwaondoa wawekezaji wa kichina kwenye misitu waondolewe kwani hawana tija kwa serikali zaidi ya kuwasababishia umasikini mkubwa wananchi wa mkoa huo.


Pamoja na mambo mengine Mwanyika ameyasema hayo alipokuwa akichangia mjadala wa makadirio ya Wizara ya Maliasili na Utalii kwa mwaka wa fedha wa 2024/2025 bungeni Dodoma Juni 3, 2024.


IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MSIMAMIZI MKUU KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

OWM–TAMISEMI YASHINDA TUZO YA MABADILIKO YA KIDIJITALI KATIKA TEHAMA AWARDS 2026

NI MAKOSA WANAFUNZI KUFIKA SHULE SAA 1:15 ASUBUHI

MAFAO YA MAKAMU WA RAIS ALIYEJIUZULU

VIONGOZI NA WATENDAJI WA MATAWI UVCCM PANGANI WANOLEWA

NMB YAWAUNGANISHA WANANCHI NA HUDUMA, FURSA ZANZIBAR