MWANYIKA: NJOMBE HATUKUBALI KUWA KICHWA CHA MLEVI.....


 Mbunge wa Njombe Mjini, Deodatus Mwanyika ameiomba serikali kuwaondoa wawekezaji wa kichina kwenye misitu waondolewe kwani hawana tija kwa serikali zaidi ya kuwasababishia umasikini mkubwa wananchi wa mkoa huo.


Pamoja na mambo mengine Mwanyika ameyasema hayo alipokuwa akichangia mjadala wa makadirio ya Wizara ya Maliasili na Utalii kwa mwaka wa fedha wa 2024/2025 bungeni Dodoma Juni 3, 2024.


IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
MSIMAMIZI MKUU 
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV
 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

OWM–TAMISEMI YASHINDA TUZO YA MABADILIKO YA KIDIJITALI KATIKA TEHAMA AWARDS 2026

MATUKIO MBALIMBALI WAKATI WA KUAPISHWA NDEJEMBI KUWA MAKAMU WA RAIS

NI MAKOSA WANAFUNZI KUFIKA SHULE SAA 1:15 ASUBUHI

MAFAO YA MAKAMU WA RAIS ALIYEJIUZULU

URUSI, CHINA, IRANI NA KOREA KASKAZINI WAPANGA KUUNDA JESHI MOJA LA KUJIHAMI

NDEJEMBI KUTOKA MFANYAKAZI WA GSM HADI KUWA MAKAMU WA RAIS