Mbunge wa Moshi Vijijini, Profesa Patrick Ndakidemi ameitaka serikali kujenga barabara kuelekea Mlima Kilimanjaro ili kuvutia zaidi watalii, lakini pia ameishauri serikali kuweka viberenge katika mlima huo ili kuongeza idadi zaidi ya watalii.
Ameyasema hayo alipokuwa akichangia mjadala wa makadirio ya Bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii kwa mwaka wa fedha wa 2024/2025 bungeni Dodoma Juni 3, 2024.
IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV
0754264203

Comments