Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira, Mbunge wa Kalenga, Jackson Kiswaga amempongeza Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango na Waziri Mkuu, Jassim Majaliwa kwa kuupa uzito unaostahili Mkutano Maalumu wa Viongozi, Wataalam na Wadau kuhusu mwelekeo wa hali ya mazingira nchini. Ametoa pongezi hizo wakati Waziri Mkuu Majaliwa akijiandaa leo kufunga mkutano huo wa siku mbili uliofunguliwa na Makamu wa Rais, Dk. Mpango jana kwenye Ukumbi wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma. IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MSIMAMIZI MKUU KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV 0754264203
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira, Mbunge wa Kalenga, Jackson Kiswaga amempongeza Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango na Waziri Mkuu, Jassim Majaliwa kwa kuupa uzito unaostahili Mkutano Maalumu wa Viongozi, Wataalam na Wadau kuhusu mwelekeo wa hali ya mazingira nchini. Ametoa pongezi hizo wakati Waziri Mkuu Majaliwa akijiandaa leo kufunga mkutano huo wa siku mbili uliofunguliwa na Makamu wa Rais, Dk. Mpango jana kwenye Ukumbi wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma. IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MSIMAMIZI MKUU KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV 0754264203

Comments