HAMUOGOPI? CCM ‘WATISHA’, NCHIMBI AKIZUNGUMZA NAO KAHAMA*

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi akizungumza kwenye mkutano wa ndani wa wanachama na viongozi wa CCM Wilaya ya Kahama, tarehe 10 Oktoba 2024, baada ya kupokelewa rasmi wilayani humo leo asubuhi, ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake ya kikazi Mkoa wa Shinyanga, ambayo leo imeingia siku ya pili. Balozi Nchimbi, ambaye ameambatana na Katibu wa NEC - Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Ndugu Amos Gabriel Makalla na Katibu wa NEC - Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Ndugu Rabia Hamid Abdalla, baadae jioni anatarajiwa kuzungumza na wananchi wa Kahama katika mkutano mkubwa wa hadhara, Uwanja wa Stendi Ndogo ya Malori, mjini Kahama.






 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

𝗠𝗕𝗢𝗪𝗘 𝗔𝗦𝗜𝗧𝗜𝗦𝗛𝗔 𝗠𝗔𝗔𝗡𝗗𝗔𝗠𝗔𝗡𝗢 𝗬𝗔 𝗖𝗛𝗔𝗗𝗘𝗠𝗔 𝗬𝗔 𝗧𝗔𝗥𝗘𝗛𝗘 𝟮𝟯.

KIKOSI CHA CBE KIMEWASILI ZENJI KUVAANA NA YANGA

YANGA YAWASILI SALAMA ETHIOPIA

MAYELE AIMWAGIA SIFA LUKUKI YANGA