MUZIKI WA SINGELI WAZIDI KUPAA HADI ANGA ZA KIMATAIFA

Afisa Mtendaji Mkuu na Msimamizi wa Hakimiliki (COSOTA), Doreen Sinare akizungumza na waandishi wa habari, kwenye Ukumbi wa Idara ya Habari MAELEZO, Dodoma, kuhusu mafanikio na mwelekeo wa ofisi hiyo ndani ya miaka minne ya uongozi wa Serikali ya Awamu ya Sita.


Pamoja na mafanikio mengine, Sinare amesema kuwa muziki wa Singeli wenye asili ya Tanzania, umezidi kujipatia umaarufu nchini na nje ya nchi.

Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari-MAELEZO, Zamaradi Kawawa akitoa neno la ukaribisho kwa Afisa Mtendaji Mkuu wa COSOTA, Sinare kuzungumza na vyombo vya habari.
Baadhi ya wandishi wa habari wakiwa katika mkutano huo.


IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
 MSIMAMIZI MKUU 
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV
 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

OWM–TAMISEMI YASHINDA TUZO YA MABADILIKO YA KIDIJITALI KATIKA TEHAMA AWARDS 2026

NI MAKOSA WANAFUNZI KUFIKA SHULE SAA 1:15 ASUBUHI

MAFAO YA MAKAMU WA RAIS ALIYEJIUZULU

VIONGOZI NA WATENDAJI WA MATAWI UVCCM PANGANI WANOLEWA

NMB YAWAUNGANISHA WANANCHI NA HUDUMA, FURSA ZANZIBAR