RAIS SAMIA AONGOZA KIKAO CHA HALMASHAURI KUU YA CCM

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiongoza kikao cha Halmashauri Kuu  ya CCM Taifa (NEC), leo tarehe 10 Machi 2025, jijini Dodoma.



Dkt. Samia akizungumza jambo na Makamu Mwenyekiti wa CCM, Tanzania Bara, Stephen Wasira.

Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Emmanuel  Nchimbi akizungumza wakati wa kikao hicho.Dkt. Samia akijadiliana jambo na Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Emmanuel Nchimbi.


Wajumbe wa Halamashauri Kuu wakiwa katika kikao hicho.










 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

RAIS TRUMP ARARUANA NA RAIS WA UKRAINE

MWABUKUSI ATOA NENO SIMBA KUSUSIA DERBY DHIDI YA YANGA

SERIKALI YALIKUBALI OMBI LA DIAMOND

HOSPITALI YA MUHIMBILI YAANZISHA HUDUMA YA KISASA YA KUZIBA MAPENGO

ARAJIGA AULA KOMBE LA DUNIA