DERBY INGEFANYIKA UWANJA WA MKAPA UKO TAYARI - MSIGWA


Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo, ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa akitoa akielezea ukweli kuhusu hali ya Uwanja wa Benjamini Mkapa kwamba uko vizuri na tayari kuruhusu mechi kuchezwa hapo kutokana na matengenezo makubwa yaliyofanywa ilikiwemo eneo la kuchezea.

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
MSIMAMIZI MKUU
 KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV
 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

RAIS TRUMP ARARUANA NA RAIS WA UKRAINE

MWABUKUSI ATOA NENO SIMBA KUSUSIA DERBY DHIDI YA YANGA

SERIKALI YALIKUBALI OMBI LA DIAMOND

HOSPITALI YA MUHIMBILI YAANZISHA HUDUMA YA KISASA YA KUZIBA MAPENGO

ARAJIGA AULA KOMBE LA DUNIA