ABBOTT KUJENGA NCHINI KIWANDA CHA VIFAA TIBA VYA KUPIMA KASWENDE, INI NA UKIMWI

Waziri wa Afya, Jenista Mhagama akishuhudia Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo ambaye pia ni Mganga Mkuu wa Serikali, Dkt. Grace Magembe na Makamu wa Rais wa Kanda wa Kampuni ya Abbott, Steve Henn   wakitiliana saini makubaliano ya mkataba na Kampuni hiyo ya Marekani, wa kujenga kiwanda kikubwa nchini  cha uzalishaji wa vifaa tiba vya kupima magonjwa ya Kaswende, Ini na Ukimwi.
Wakibadilishana hati wakati wa hafla hiyo iliyofanyika jijini Dodoma Julai 12, 2025.


Waziri Mhagama akizungumza wakati wa hafla hiyo.
Steve Henn akizungumza katika hafla hiyo.

Maafisa wa Serikali wakiwa katika hafla hiyo.

Wakiwa katika picha ya pamoja.IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
 MSIMAMIZI MKUU
 KAMANDA WA MATUKIO ONLINE 
TV 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

DUNIA NI KATILI SANA KWA MWANAUME MASIKINI

MAKUNDI YA VILABU VINAVYOSHIRIKI KOMBE LA DUNIA 2025.

JINSI YA KUMTAWALA MWANAMKE HASA MKE (USIOE MKE WA MTU)

MUONEKANO WA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA MSALATO

DIARRA KIPA BORA TANZANIA

CHINYELE ACHUKUA FOMU KUOMBA RIDHAA YA KUGOMBEA UBUNGE DODOMA MJINI