MKURUGENZI WA SHULE ZA GREEN ACRES AUTAKA UBUNGE MISENYI

Na Diana Byera

Missenyi

Mkurugenzi Mtendaji wa Shule za Green Acres Tanzania zilizoko Missenyi na Dar es salaam, Bi Jacklyne Siima Rushaigo mwenye elimu ya Shahada ya Uzamili ya Benki na Fedha (MSc) amechukua nakurejesha fomu ya kugombea Ubunge Jimbo la Missenyi Mkoani Kagera 


Akiongea na waandishi wa habari baada ya kurejesha fomu katika ofisi ya Wilaya Missenyi ya Chama Cha Mapinduzi iliyoko Nyabihanga Kyaka Missenyi Bi Jacklyne ameomba chama chake kumteua KWAKUWA anao uwezo wa kutumikia wananchi na kuwaletea maendeleo



 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

DUNIA NI KATILI SANA KWA MWANAUME MASIKINI

MAKUNDI YA VILABU VINAVYOSHIRIKI KOMBE LA DUNIA 2025.

JINSI YA KUMTAWALA MWANAMKE HASA MKE (USIOE MKE WA MTU)

MUONEKANO WA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA MSALATO

DIARRA KIPA BORA TANZANIA

CHINYELE ACHUKUA FOMU KUOMBA RIDHAA YA KUGOMBEA UBUNGE DODOMA MJINI