JANETH MAGUFULI, ANNA MKAPA WATEMBELEA BANDA LA BUNGE SABASABA


 Mama Anna Mkapa - Mjane wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tatu, Hayati Benjamin William Mkapa, na Mama Janeth Magufuli - Mjane wa  aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, wametembelea Banda la Bunge katika Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa katika viwanja vya Sabasaba  jijini Dar es Salaam leo Julai 9, 2025.

Anayetoa maelezo ni Afisa Habari wa Bunge, Patson Sobha.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

DUNIA NI KATILI SANA KWA MWANAUME MASIKINI

MAKUNDI YA VILABU VINAVYOSHIRIKI KOMBE LA DUNIA 2025.

JINSI YA KUMTAWALA MWANAMKE HASA MKE (USIOE MKE WA MTU)

MUONEKANO WA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA MSALATO

DIARRA KIPA BORA TANZANIA

CHINYELE ACHUKUA FOMU KUOMBA RIDHAA YA KUGOMBEA UBUNGE DODOMA MJINI