RAC TABORA AZITISHIA 'NYAU' YANGA NA SIMBA


Mkuu wa Mkoa wa Tabora,Paulo Chacha  amezitia timu za Ligi Kuu kwamba zitapigwa kipigo cha mbwa koko kutokana na kuunda Tabora United imara yenye wachezaji vijana chini ya miaka 25 pamoja na timu imara ya soka ya wanawake.

RC Chacha  ametoa tishio hilo alipokuwa akimalizia kuzungumza na vyombo vya habari katika Ukumbi wa Idara ya Habari MAELEZO jijini Dodoma Julai 11, 2025, kuelezea  mafanikio ya miaka minne ya Mkoa huo katika kipindi cha Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan.
Waandishi wa habari wakiwa katika mkutano huo.
Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari MAELEZO, Zamaradi Kawawa akitoa neno la kuhitimisha mkutano huo.

MKWARA WENYEWE HUU HAPA.....



 IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA

MSIMAMIZI MKUU

KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV

0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

DUNIA NI KATILI SANA KWA MWANAUME MASIKINI

MAKUNDI YA VILABU VINAVYOSHIRIKI KOMBE LA DUNIA 2025.

JINSI YA KUMTAWALA MWANAMKE HASA MKE (USIOE MKE WA MTU)

MUONEKANO WA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA MSALATO

DIARRA KIPA BORA TANZANIA

CHINYELE ACHUKUA FOMU KUOMBA RIDHAA YA KUGOMBEA UBUNGE DODOMA MJINI