SHULE YA MUUNGANO WALIVYOTEMBELEA BUNGE DODOMA

Wanafunzi wa Shule ya Awali na Msingi Muungano ya Dar es Salaam wakiwa mbele ya Jengo la Bunge jijini Dodoma walipotembelea bunge hilo Juni 18, 2025.

Walitambulishwa ndani ya Bunge na Mwenyekiti wa Bunge, Deodatus Mwanyika.Wakiwa bungeni walijifunza mwenendo wa Bunge, historia ya Bunge na mambo mengi yahusuyo Bunge hilo lakini pia wanafunzi wa shule hiyo walipata wasaa wa kuuliza maswali kwa maafisa wa Bunge waliokuwa wakitoa mafunzo walipokaribishwa kwenye Ukumbi wa zamani wa Bunge wa Pius Msekwa.

Wakiwa ndani ya Bunge.
Wakipiga Picha  mbele ya lango kuu la kuingilia ndani ya Bunge na Waziri wa Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene. Pamoja na Mbunge wa Morogoro Mashariki, Hamis Taletale.




 Wakiangalia maji tiririka mbele ya jengo la Bunge.

ANGALIA SHULE HIYO IKITAMBULISHWA...

IMEANDALIWA NA 
RICHARD MWAIKENDA 
MSIMAMIZI MKUU
 KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV 
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

DUNIA NI KATILI SANA KWA MWANAUME MASIKINI

MAKUNDI YA VILABU VINAVYOSHIRIKI KOMBE LA DUNIA 2025.

JINSI YA KUMTAWALA MWANAMKE HASA MKE (USIOE MKE WA MTU)

MUONEKANO WA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA MSALATO

DIARRA KIPA BORA TANZANIA

CHINYELE ACHUKUA FOMU KUOMBA RIDHAA YA KUGOMBEA UBUNGE DODOMA MJINI