CHATANDA AUNGANA NA RAIS KUAGA MWILI WA HAYATI NDUGAI

Mwenyekiti wa  Umoja wa Wanawake wa wa CCM Tanzania (UWT), akimfariji Dkt. Fatma Mganga mjane wa aliyekuwa Spika mstaafu wa Bunge marehemu Job Ndugai wakati wa kuuaga mwili wa kiongozi huyo.
Rais Samia amfariji Dkt. Fatma Mjane wa marehemu Ndugai. Rais aliongoza tukio hilo la kuaga  lililofanyika kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma Agosti 10, 2025.
Chatanda akitoa heshima za mwisho.



 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

WALIOKUWA WABUNGE WALIOPITIWA NA MKASI WA WAJUMBE

MWANAUME USIPITWE NA HILI, INASIKITISHA...?!!!

USAJILI ULIVYO HADI SASA....

SPIKA MSTAAFU NDUGAI AFARIKI DUNIA

RAIS SAMIA AYATAKA MASHINDANO YA MISS WORLD 2027

MAMBO 7 MUHIMU YA KUYAEPUKA BAADA YA KUACHANA...

MWENYE MASIKIO NA ASIKIE....

RAIS SAMIA AMUONDOLEA POLEPOLE HADHI YA UBALOZI