DKT. BITEKO AZINDUA MPANGO WA KUWAPATIA WAFANYAKAZI WA TANESCO MAJIKO YA UMEME YA BEI YA RUZUKU

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Doto Mashaka Biteko (wa pili kushoto) akizindua programu ya utowaji  majiko 11,000 ya umeme kwa bei ya ruzuku kwa wafanyakazi wa Shirika la Umeme (TANESCO) katika hafla iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma Agosti 14, 2025.Kushoto 

Katika hafla hiyo, pia alimpatia jiko la aina hiyo Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule.






Dkt. Biteko akizungumza baada ya kugawa majiko hayo.
 Naibu Waziri wa Nishati Judith Kapinga akizungumza wakati wa hafla hiyo.

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
 MSIMAMIZI MKUU
 KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV 
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

WALIOKUWA WABUNGE WALIOPITIWA NA MKASI WA WAJUMBE

USAJILI ULIVYO HADI SASA....

SPIKA MSTAAFU NDUGAI AFARIKI DUNIA

MWANAUME USIPITWE NA HILI, INASIKITISHA...?!!!

RAIS SAMIA AYATAKA MASHINDANO YA MISS WORLD 2027

MAMBO 7 MUHIMU YA KUYAEPUKA BAADA YA KUACHANA...

MWENYE MASIKIO NA ASIKIE....

RAIS SAMIA AMUONDOLEA POLEPOLE HADHI YA UBALOZI