DKT SAMIA, DKT. NCHIMBI WACHUKUA FOMU ZA KUWANIA URAIS, UMAKAMU WA RAIS

  Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Mahakama ya Rufaa Jacobs Mwambegele akimkakabidhi mkoba wenye fomu za kuomba kuteuliwa kuwa Mgombea wa Kiti cha Rais na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan. Mgombea huyo wa CCM alichukua fomu hizo leo Agosti 9,2025 ambapo Tume inataraji kufanya uteuzi Agosti 27 mwaka huu.  


Dkt. Samia Suluhu Hassan na Dkt. Emmanuel Nchimbi wakionesha mkoba wenye fomu hizo.

Dkt. Samia akipongezwa na ndugu yake.
Wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa  CCM.





Msafara ulipokuwa unaingia Makao Makuu ya INEC Njedengwa, Dodoma.

Baadhi ya viongozi wa CCM wakiwa eneo la tukio.
Baadhi ya viongozi wanawake wa CCM.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Salim Asas akijadiliana jambo na Mwenyekiti wa UWT Taifa, ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu, Mary Chatanda walipokuwa wakisubiri wagombea kuwasili kuchukua fomu hizo katika Makao Makuu ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi.
Dkt. John Nchimbi Katibu Mkuu wa CCM, ambaye pia ni Mgombea Mwenza wa Urais, akizungumza na baadhi ya viongozi wa CCM.

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MSIMAMIZI MKUU
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

WALIOKUWA WABUNGE WALIOPITIWA NA MKASI WA WAJUMBE

MWANAUME USIPITWE NA HILI, INASIKITISHA...?!!!

USAJILI ULIVYO HADI SASA....

SPIKA MSTAAFU NDUGAI AFARIKI DUNIA

HUYU NDIYE MWANAMKE WA KUOA

RAIS SAMIA AYATAKA MASHINDANO YA MISS WORLD 2027

MAMBO 7 MUHIMU YA KUYAEPUKA BAADA YA KUACHANA...

MWENYE MASIKIO NA ASIKIE....