DKT. SAMIA KUCHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS KESHO


Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi CCM, CPA. Amos Makalla akizungumza na vyombo vya habari katika Makao Makuu ya chama hicho Jijini Dodoma leo Agosti 2025, kwamba kesho Agosti 9 2025 Rais Samia Suluhu Hassan na Mgombea Mwenza, Dkt. John Nchimbi wanakwenda Tume Huru ya Taifa ya  Uchaguzi (INEC) kuchukua fomu za kugombea urais kupitia chama hicho.



 

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
MSIMAMIZI MKUU
 KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV 
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

WALIOKUWA WABUNGE WALIOPITIWA NA MKASI WA WAJUMBE

MWANAUME USIPITWE NA HILI, INASIKITISHA...?!!!

USAJILI ULIVYO HADI SASA....

SPIKA MSTAAFU NDUGAI AFARIKI DUNIA

HUYU NDIYE MWANAMKE WA KUOA

RAIS SAMIA AYATAKA MASHINDANO YA MISS WORLD 2027

MAMBO 7 MUHIMU YA KUYAEPUKA BAADA YA KUACHANA...

MWENYE MASIKIO NA ASIKIE....