LEO NA KESHO ZIMEBEBA MAISHA YA SOKA AFRIKA MASHARIKI SOKA

Leo na kesho zimebeba Maisha mapya ya Soka la ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) katika Soka la Afrika ambapo Mataifa Wenyeji wa Michuano Mataifa Bingwa Afrika (CHAN) Tanzania, Kenya na Uganda kuamua hatma yao.

Majira ya saa 11 jioni Kenya watashuka dimbani kumenyana na Madagascar mchezo wa kwanza wa hatua ya robo fainali ya makala ya nane, huku majira ya saa 2:00 usiku Tanzania itakwatuana na Morocco katika Dimba la Benjamin Mkapa.

Robo Fainali ya tatu ni kesho pale Uganda wakipepetena na Senegal huku Visiwani Zanzibar Sudan wakionyeshana makali dhidi ya Algeria.

Hakika ni masaa 48 ya Afrika Mashariki na Kati Mabegani mwa Tanzania, Kenya, Uganda na Sudan kuandika rekodi mpya ya mashindano ya Afrika.



 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

WALIOKUWA WABUNGE WALIOPITIWA NA MKASI WA WAJUMBE

SPIKA MSTAAFU NDUGAI AFARIKI DUNIA

MWENYE MASIKIO NA ASIKIE....

USAJILI ULIVYO HADI SASA....

RC KIHONGOSI AELEZA MAFANIKIO LUKUKI MKOA ARUSHA

RAIS SAMIA AMUONDOLEA POLEPOLE HADHI YA UBALOZI

RAIS WA BURKINA FASO ATANGAZA DIRA YA KUUNDA MUUNGANO WA MATAIFA YA AFRIKA (UNITED STATES OF AFRICA).