KIWANDA KIPYA CHA MAFUTA CHA MAINLAND KITAKUWA MKOMBOZI - CHUMI

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Cosato Chumi, akizungumza na wanahabari baada ya kutembelea banda la kiwanda cha Kimataifa cha kutengeneza mafuta ya kula nchini cha Mainland Group Process Tanzania Co Ltd. Chumi ameusifu uongozi wa kiwanda hicho ambacho kinatalajiwa kufunguliwa hivi karibu kwa kuweza kuajiri wafanyakazi wengi na kitatumia malighafi nyingi za hapa nchini.
Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhusiano Serikalini wa Kiwanda hicho Betty Mkwasa, akifafanua jambo kwa wanahabari kuhusu ujio wa kiwanda hicho nchini, ambacho anadai kitakuwa kikubwa cha pili kwa nchi za Kusini mwa Afrika. IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
 MSIMAMIZI MKUU 
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV
 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

WALIOKUWA WABUNGE WALIOPITIWA NA MKASI WA WAJUMBE

MWANAUME USIPITWE NA HILI, INASIKITISHA...?!!!

USAJILI ULIVYO HADI SASA....

SPIKA MSTAAFU NDUGAI AFARIKI DUNIA

HUYU NDIYE MWANAMKE WA KUOA

MWENYE MASIKIO NA ASIKIE....

RAIS SAMIA AYATAKA MASHINDANO YA MISS WORLD 2027

MAMBO 7 MUHIMU YA KUYAEPUKA BAADA YA KUACHANA...