PROF. MCHOME AJIONEA MAKUBWA BANDA LA VETA 88 DODOMA

Mwenyekiti wa Bodi ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) ProfSifuni Mchome akitembelea mabanda ya wabunifu ya VETA katika maonesho ya Kimataifa ya Nanenane katika viwanja vya Nzuguni jijini Dodoma lAgosti 7, 2025. Aliweza kujionea ubunifu mbalimbali wa washiriki hao ambao waliupata baada ya kupata mafunzo kutoka VETA katika vyuo vilivyoenea nchini. 


Profesa Mchome amewataka washiriki kuzalisha kwa wingi bidhaa zao ili zienee katika masoko, nchi ijiepushe na kuagiza bidhaa kutoka nje ya nchi. Bidhaa hizo zikidhi viwango vya kimataifa ili kupanua soko hadi nje ya nchi.

  







 


IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA 
MSIMAMIZI MKUU 
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV 
0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

WALIOKUWA WABUNGE WALIOPITIWA NA MKASI WA WAJUMBE

MWANAUME USIPITWE NA HILI, INASIKITISHA...?!!!

USAJILI ULIVYO HADI SASA....

SPIKA MSTAAFU NDUGAI AFARIKI DUNIA

HUYU NDIYE MWANAMKE WA KUOA

MWENYE MASIKIO NA ASIKIE....

RAIS SAMIA AYATAKA MASHINDANO YA MISS WORLD 2027

MAMBO 7 MUHIMU YA KUYAEPUKA BAADA YA KUACHANA...