USAMBAZAJI MBOLEA KWA WINGI VIJIJINI KUONGEZEWA NGUVU NA AFFM, AfDB

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo,Dkt.Stephen Nindi akielezea jinsi wakulima watakavyonufaika kupata mbolea kirahisi kupitia uratibu wa Taasisi ya AFFM kwa udhamini wa fedha kutoka Benki ya Maendeleo Afrika (AfDB) watakazokopeshwa  wauzaji wa pembejeo kurahisisha usambazaji wa mbolea kwa wingi vijijini.

Nindi amezindua rasmi mpango huo leo Agosti 7, 2025, kwenye Maonesho ya Kitaifa na Kimataifa ya Nane Nane katika viwanja vya Nzuguni jijini Dodoma.

Mratibu wa Africa Fertilizer Financiing Mechanism (AFFM), Marie Kalihangabo.

Mkurugenzi wa Kanda ya Afrika Mashariki wa AFFM, James Mutonyi.
Mnufaika wa mpango huo, Sady Mwang'onda.

Baadhi ya waliohudhuria uzinduzi huo.


 Mgeni rasmi, Dkt. Nindi akiwa katika picha ya pamoja
IMEANDALIWA NA
 RICHARD MWAIKENDA 
MSIMAMIZI MKUU 
KAMANDA WA MATUKIO ONLINE TV


 0754264203

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

WALIOKUWA WABUNGE WALIOPITIWA NA MKASI WA WAJUMBE

MWANAUME USIPITWE NA HILI, INASIKITISHA...?!!!

USAJILI ULIVYO HADI SASA....

SPIKA MSTAAFU NDUGAI AFARIKI DUNIA

HUYU NDIYE MWANAMKE WA KUOA

RAIS SAMIA AYATAKA MASHINDANO YA MISS WORLD 2027

MWENYE MASIKIO NA ASIKIE....

MAMBO 7 MUHIMU YA KUYAEPUKA BAADA YA KUACHANA...