UWT 'YAWASHA MOTO' ZANZIBAR USIKU WA DKT. HUSSEIN MWINYI.

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania (UWT) Ndg. Mary Pius Chatanda (MCC) akiwa na Makamu Mwenyekiti UWT Taifa Ndg. Zainab Khamis Shomari (MNEC) pamoja na Katibu Mkuu wa (UWT) Ndg. Suzan Peter Kunambi (MNEC) waongoza wanachama wa UWT/CCM na Wananchi kwenye Usiku wa Dkt. Mwinyi kwa kucheza na kuburudika kwa nyimbo mbalimbali katika Viwanja vya Kisonge, yote hiyo ni hamasa na shamrashamra za kumsindikiza Dkt. Hussein Ali Mwinyi Kwenda kuchukua fomu Ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi Visiwani Zanzibar, kuwania nafasi ya Urais katika Uchaguzi utakaofanyika Oktoba 29, 2025.













 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

OWM–TAMISEMI YASHINDA TUZO YA MABADILIKO YA KIDIJITALI KATIKA TEHAMA AWARDS 2026

NI MAKOSA WANAFUNZI KUFIKA SHULE SAA 1:15 ASUBUHI

MAFAO YA MAKAMU WA RAIS ALIYEJIUZULU

VIONGOZI NA WATENDAJI WA MATAWI UVCCM PANGANI WANOLEWA

NMB YAWAUNGANISHA WANANCHI NA HUDUMA, FURSA ZANZIBAR