VINGILIO MECHI YA YANGA VS RAYON KUFURU

Mchezo wa kimataifa wa kirafiki kati ya Rayol Sports 🇷🇼 na Young Africans 🇹🇿 utakaopigwa Agosti 15 mwaka huu umepangwa kucheza majira ya SAA 1:00 kwa SAA za Tanzania 🙌✅

Pia Klabu mwenyeji Rayol sports wametaja viingilio vya mchezo huo wa kimataifa wa kirafiki 👇

Hizi ni makadirio ya bei hizo kwa Tanzania Shillings (TSh) kwa kutumia kiwango cha wastani wa ubadilishaji: 
1 RWF ≈ 2.3 TSh (kulingana na viwango vya hivi karibuni)

Makadirio ya Bei kwa TSh:
-Upper Bowl: 3,000 RWF ≈ TSh 6,900
-Lower Bowl: 5,000 RWF ≈ TSh 11,500
-Classic Seats: 15,000 RWF ≈ TSh 34,500
-VIP: 30,000 RWF ≈ TSh 69,000
-VVIP: 100,000 RWF ≈ TSh 230,000
-Executive Seat: 150,000 RWF ≈ TSh 345,000
-SkyBox: 2,000,000 RWF ≈ TSh 4,600,000 Chrisa San


 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

WALIOKUWA WABUNGE WALIOPITIWA NA MKASI WA WAJUMBE

MWANAUME USIPITWE NA HILI, INASIKITISHA...?!!!

USAJILI ULIVYO HADI SASA....

SPIKA MSTAAFU NDUGAI AFARIKI DUNIA

RAIS SAMIA AYATAKA MASHINDANO YA MISS WORLD 2027

MAMBO 7 MUHIMU YA KUYAEPUKA BAADA YA KUACHANA...

MWENYE MASIKIO NA ASIKIE....

RAIS SAMIA AMUONDOLEA POLEPOLE HADHI YA UBALOZI