DKT. SAMIA KESHO NI MWENDO MDUNDO MKOA WA SONGWE


 NI ZAMU YA SONGWE

Hii ni baada ya mikoa ya Dar es salaa pale Kawe kutikisa kwenye mikutano ya kampeni kisha, Morogoro viwanja Kawawa pamoja na Kondoa na Dodoma Mjini wananchi wenye mapenzi mema na Chama Cha Mapinduzi kufurika kwa wingi kwenye mikutano ya Kampeni za Mgombea Urais kupitia CCM, Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan, huku wakiahidi kutiki Oktoba 29 mwaka huu.

#TUKUTANESONGWE#

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

WALIOKUWA WABUNGE WALIOPITIWA NA MKASI WA WAJUMBE

NENO KUNTU LA UMMY MWALIMU ALILOLITOA BAADA YA KUTEMWA KUGOMBEA UBUNGE

SPIKA MSTAAFU NDUGAI AFARIKI DUNIA

WAGOMBEA WALIOENGULIWA CCM LICHA YA KUONGOZA KURA ZA MAONI

RAIS SAMIA AMUONDOLEA POLEPOLE HADHI YA UBALOZI