6 WAPITISHWA NA VYAMA KUGOMBEA USPIKA


Wagombea  6 majina yao yamewasilishwa na vyama vya siasa kuwania uspika wa Bunge la Jamhuri  ya Muungano wa Tanzania unaotarajiwa kufanyika NOVEMBA 11, 2025 bungeni Dodoma.

Majina ya wagombea hao ni;

Mhe. Mussa Azzan Zungu kutoka Chama cha Mapinduzi (CCM);

Ndg . Veronica Charles Tyeah kutoka Chama cha National Reconstruction Alliance (NRA);

Ndg. Anitha Alfan Mgaya kutoka Chama cha National League for Democracy (NLD):

Ndg Chrisant Nyakitita kutoka Chama cha Democratic Party (DP)


Ndg. Ndonge Said Ndonge kutoka Chama cha Alliance for Africa Farms Party (AAFP): na


Ndg. Amin Alfred Yango kutoka Chama cha Aliance for Democratic Change (ADC).


Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

VITU 10 WANAUME WANAVYOPENDA ZAIDI TOKA KWA MWANAMKE — SIYO SURA, SIYO MWILI ❤️

WALIOCHUKUA FOMU CCM ZA KUWANIA USPIKA HAWA HAPA

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

RAIS SAMIA SIO RAIS JOYCE BANDA WA MALAWI, TANZANIA SIO KENYA

MJUE VIZURI KOCHA MPYA WA YANGA PEDRO

MATOKEO YA DARASA LA 7 YATANGAZWA

JESHI LA POLISI LATEKELEZA AGIZO LA RAIS SAMIA, LAONDOA KIZUIZI CHA KUTOTOKA NJE BAADA YA SAA 12 JIONI